
Mbuyu umekuwa ukitumiwa kama makazi na makabila mengi yanayoishi sehemu kame ambako ndiko hasa mmea huu unastawi vizuri mf. Watindiga na Wafulani. Kuweka choo cha kisasa ndaniye ni kupanua tu matumizi yake ya tangu zamani ingawa si ajabu watu wanaotetea mazingira wakadai kwamba kitendo kama hiki cha kuugeuza mbuyu kuwa choo si kitendo cha kujivunia kwani kinahatarisha maisha yake.
Mheshimiwa, hapa nimekupigia saluti, hii tutainukuu
ReplyDeleteKweli watu wanajua kubuni. Hii safi sana
ReplyDeleteYaani jamaa kajitahidi sana anastahili sifa, inamaana mbuyu hauendelei kukua tena? lasivyo sijui baadae itakuwaje
ReplyDeleteHii kali!
ReplyDeletemh> nakumbuka kula mapera na kujisaidia sehemu, uliota mpera kule kwetu! nikiwa kwetu huwa nawaangalia wala mapera na kusema kimoyo moyo; mngejua chanzo chake?? labda haina maana japo yawezekana alijisaidia ndege na kutesha mbuyu kwa hiyo labda choo ni historia ya ulikotoka
ReplyDeleteDuh!
ReplyDelete