Nimeipenda hesabu hiyo isiyo na kanuni japo shule nilikuwa mbumbumbu wa hesabu. Walionipokea waliniaminisha hesabu ngumu. Kumbe zilitakiwa jitihada tu.
Da Mija - Nilikuwa najiweza kwa kiasi changu na kama siku ningeamka vizuri basi ningeweza kupata A au B na C. Tatizo ni kwamba sikuona umuhimu wake. Ndiyo maana nilishtuka nilipokutana nazo kwenye isimu - tazama hapa: http://matondo.blogspot.com/2009/12/wanafunzi-sikilizeni-msidharau-somo-la.html
Ni somo la muhimu sana ambalo halikwepeki popote mtu utakapoenda. Hata ukisoma Historia au Siasa, utakutana nalo tu kwenye mambo ya data n.k.
Si unaona hayo mambo ya ku-integrate ya Bwana Habib na Ng'wanambiti hapo juu? Kazi kwelikweli.
Kamala - shemeji akikokotoa, tujulishe.
Fadhy - Kila kitu maishani ni jitihada tu. Nadhani ni Thomas Edison aliyesema kwamba katika kila kitu alichofanya 1% ilikuwa ni matunda ya akili zake na 99% jitihada (Genius is 1% inspiration, and 99% perspiration). Siku hizi mimi naamini kila kitu kinawezekana kama mtu ukiweka akili na nguvu zako zote katika kukishughulikia. Nina mifano mingi kupitia kwangu mwenyewe.
Yasinta - elimu haina mwisho ati!
Bwana Nkwazi Mhango, tuwasiliane kupitia profesamatondo@gmail.com. Nitaacha ujumbe pia katika blogu yako. Asanteni nyote!!!
Nimeipenda hesabu hiyo isiyo na kanuni japo shule nilikuwa mbumbumbu wa hesabu. Walionipokea waliniaminisha hesabu ngumu. Kumbe zilitakiwa jitihada tu.
ReplyDeleteNimeona njia nyingi na kanuni za hesabu lakini hii nilikuwa sijaiona.
ReplyDeleteI wish nisingekuwa safarini ili nishee na maiwaifu mtaalamu wa hii kitu. sijui anasemaje yeye
ReplyDeleteAny way,uki-intergrate kutoka 0 mpaka 1 unaweza kupata jibu zuri zaidi....lol
ReplyDeleteBwana Masangu,
ReplyDeleteUlioacha comments kwenye blogu yangu kuhusiana na kitabu changu kipya nami nikakujibu. Ajabu hukurejesha jibu langu. Je naweza kupata barua meme yako vipi ili tuongee mengi? Kama hutaweza ningeweza kukutumia nakala.
Nangojea jibu lako.
Nkwazi Mhango,
Altona MB
Chacha Uki-intergrate kutoka 0 mpaka 1 jibu lake litakuwa nzuri kwa sababu litakuwa limeacha mambo mengi....
ReplyDeleteILI UPATE JIBU SAHIHI INABIDI U -INTEGRATE TOKA "NEGATIVE INFINITY" TO "POSITIVE INFINITY"
Matondo inaelekea hisabati zilikuwa zinakutibua sana...au?
ReplyDeleteDa Mija - Nilikuwa najiweza kwa kiasi changu na kama siku ningeamka vizuri basi ningeweza kupata A au B na C. Tatizo ni kwamba sikuona umuhimu wake. Ndiyo maana nilishtuka nilipokutana nazo kwenye isimu - tazama hapa: http://matondo.blogspot.com/2009/12/wanafunzi-sikilizeni-msidharau-somo-la.html
ReplyDeleteNi somo la muhimu sana ambalo halikwepeki popote mtu utakapoenda. Hata ukisoma Historia au Siasa, utakutana nalo tu kwenye mambo ya data n.k.
Si unaona hayo mambo ya ku-integrate ya Bwana Habib na Ng'wanambiti hapo juu? Kazi kwelikweli.
Kamala - shemeji akikokotoa, tujulishe.
Fadhy - Kila kitu maishani ni jitihada tu. Nadhani ni Thomas Edison aliyesema kwamba katika kila kitu alichofanya 1% ilikuwa ni matunda ya akili zake na 99% jitihada (Genius is 1% inspiration, and 99% perspiration). Siku hizi mimi naamini kila kitu kinawezekana kama mtu ukiweka akili na nguvu zako zote katika kukishughulikia. Nina mifano mingi kupitia kwangu mwenyewe.
Yasinta - elimu haina mwisho ati!
Bwana Nkwazi Mhango, tuwasiliane kupitia profesamatondo@gmail.com. Nitaacha ujumbe pia katika blogu yako. Asanteni nyote!!!
niko mbali naye, japo kukokotoa ni kazi yake ya kila siku. nikiwanaye nitampatia nione itakuwaje!
ReplyDelete