Inavyoonekana huyu mama alikuwa na tatizo la kiakili ambalo lilimfanya aamini kwamba alikuwa na mimba kumbe hakuna. Mpaka alimleta mume wake hospitalini ili ashuhudie kuzaliwa kwa mtoto. Madaktari wakajaribu "ku-induce labor" bila mafanikio ndipo mwishowe wakaamua kumfanyia upasuaji. Kumbe mama wa watu hakuwa na mimba wala nini ingawa akilini mwake kweli aliamini kwamba alikuwa na mimba na alikuwa anakaribia kujifungua.
Daktari kiongozi katika timu iliyofanya upasuaji huu ameshaonywa.
Huyo mama kauaga umaskini (japo kwa staili ya ajabu)
ReplyDeleteNami sisemi mengi
Inavyoonekana huyu mama alikuwa na tatizo la kiakili ambalo lilimfanya aamini kwamba alikuwa na mimba kumbe hakuna. Mpaka alimleta mume wake hospitalini ili ashuhudie kuzaliwa kwa mtoto. Madaktari wakajaribu "ku-induce labor" bila mafanikio ndipo mwishowe wakaamua kumfanyia upasuaji. Kumbe mama wa watu hakuwa na mimba wala nini ingawa akilini mwake kweli aliamini kwamba alikuwa na mimba na alikuwa anakaribia kujifungua.
ReplyDeleteDaktari kiongozi katika timu iliyofanya upasuaji huu ameshaonywa.
Hii nayo mpya!!
ReplyDeleteKaka Matondo,
ReplyDeleteHayo mbona yanatokea huku kwetu? mtu anaweza kuwa na mtumbo mkubwa kumbe uvimbe tu wa tumbo (tumor).
Cha ajabu hayo ma-tumor inasemekana huwa yanacheza ka mtoto achezavo tumboni. sijui madaktari wa utabibu wana lolote lile la kutueleza sababu ya hayo?