bila shaka wanauchukia saaana ujamaa. siasa bwana. ila tatizo ni kama alivyowahi kusema Hitler kwamba watu huwa hawafikirii sawa sawa, kwa hiyo Obama atashindwa tu kwani watu hawafirii na hivyo wingi wa picha kama hizi zinaweza kumchukiza huyu jamaa kwa wamarekani wengi, ni lazima watashinda tu kwani watu hupelekwa na upepo
Lakini ameonyesha kwamba ni kiongozi asiyelegalega. Kila mtu hakuamini kama kweli angeweza kupitisha mabadiliko ya bima ya afya na pamoja na kupigwa vita sana, alibakia kuwa ngangari kwelikweli mpaka akaweza.
Kweli Wamarekani ni watu wa ajabu sana. Hawakupenda mswada wa bima ya afya kusainiwa.
ReplyDeleteKweli Wamarekani ni watu wa ajabu sana. Hawakupenda mswada wa bima ya afya kusainiwa.
ReplyDeletebila shaka wanauchukia saaana ujamaa. siasa bwana. ila tatizo ni kama alivyowahi kusema Hitler kwamba watu huwa hawafikirii sawa sawa, kwa hiyo Obama atashindwa tu kwani watu hawafirii na hivyo wingi wa picha kama hizi zinaweza kumchukiza huyu jamaa kwa wamarekani wengi, ni lazima watashinda tu kwani watu hupelekwa na upepo
ReplyDeleteLakini ameonyesha kwamba ni kiongozi asiyelegalega. Kila mtu hakuamini kama kweli angeweza kupitisha mabadiliko ya bima ya afya na pamoja na kupigwa vita sana, alibakia kuwa ngangari kwelikweli mpaka akaweza.
ReplyDeleteWanaompiga vita na washindwe kwa jina la Yesu.
Huwezi kupendwa na kila mtU!
ReplyDelete