NG'WANAKANUNDO - MANJU MASHUHURI WA KISUKUMA KUTOKA MWANZA
Thursday, August 12, 2010
MAMA, WHAT DO YOU LIKE AGAINST THE WALL?
Sijui huyu mama atajibu nini akipigwa swali kama hili na huyu binti yake. Watoto ni wadadisi sana na kila tunachokifanya wanakiiga kwani sisi (wazazi) ndiyo walimu wao wa kwanza. Tuwe waangalifu!
Huyu mtoto akiropoka mbele ya watu wazima "hi guys, my mama likes it against the wall!" si ajabu akaambulia kipigo kutoka kwa mama yake. Hii si haki hata kidogo!
Anavyoonekana kwa nyuma ni kama wale ndugu zangu ninaofanya kazi zetu za kusafisha maliwato Yawezekana suala ni kutojua kilichoandikwa. Shati zuri tena kwenye "sale" Nilikuwa na muumini mwenza nyumbani kijijini alikuwa na t-shirt nzuuuri sana ya buluu ila kifuani kuna maandishi yasemayo "my next husband will be normal" Hakujua maana ya hata neno moja Sina hakika kama anamaanisha alilovaa Labda ni kile anachoweza ku-afford NAWAZA KWA SAUTI TUUU!!!
Ni kweli mwalimu, watoto wanajifunza haraka na ni wadadisi sana
ReplyDeleteHuyu mtoto akiropoka mbele ya watu wazima "hi guys, my mama likes it against the wall!" si ajabu akaambulia kipigo kutoka kwa mama yake. Hii si haki hata kidogo!
ReplyDeleteBado sijapata jibu wala maelezo
ReplyDeleteAnavyoonekana kwa nyuma ni kama wale ndugu zangu ninaofanya kazi zetu za kusafisha maliwato
ReplyDeleteYawezekana suala ni kutojua kilichoandikwa.
Shati zuri tena kwenye "sale"
Nilikuwa na muumini mwenza nyumbani kijijini alikuwa na t-shirt nzuuuri sana ya buluu ila kifuani kuna maandishi yasemayo "my next husband will be normal"
Hakujua maana ya hata neno moja
Sina hakika kama anamaanisha alilovaa
Labda ni kile anachoweza ku-afford
NAWAZA KWA SAUTI TUUU!!!
Nimesahau kusema kuwa aliyekuwa na t-shirt hiyo alikuwa MWANAUME
ReplyDelete