Nimefurahi kuona hii kwani hivi "vimobiteli" vinafanya taifa letu la kesho kunyumba nyumba hawajui wawe vipi na pia nashangaa kwa nini wanapofanya huu uchaguzi wa urembo wanachagua visichana vidogo vidogo tena vingine hata shule havijamaliaza kwa nini kusiwe na "mrs Tanzania"? Au wanafikiri kwa vile mtu kaolewa basi hana urembo tena? Nawaza kwa sauti tu!!
Tatizo kubwa la kuiga, na ukiiga kitu unaweza ukajaribu kufanya hata zaidi ya unayemuiga, ili uonekane unajua zaidi. Pili tatizo la kujiamini, hatujiamini, kama tungejiamini, siku moja tungemchua mbantu halisi awakilishe huo urembo, kwanza tungeliweka rekodii ya dunia, pilii tungeweza hata kubadilisha huo mfumo wao. Unamjua mbantu halisi, mwili wake sura yake, sina picha, lakini mwenye blog anaweza kuitafuta na kuiweka kwa niaba yangu
Nimefurahi kuona hii kwani hivi "vimobiteli" vinafanya taifa letu la kesho kunyumba nyumba hawajui wawe vipi na pia nashangaa kwa nini wanapofanya huu uchaguzi wa urembo wanachagua visichana vidogo vidogo tena vingine hata shule havijamaliaza kwa nini kusiwe na "mrs Tanzania"? Au wanafikiri kwa vile mtu kaolewa basi hana urembo tena? Nawaza kwa sauti tu!!
ReplyDeleteTatizo kubwa la kuiga, na ukiiga kitu unaweza ukajaribu kufanya hata zaidi ya unayemuiga, ili uonekane unajua zaidi. Pili tatizo la kujiamini, hatujiamini, kama tungejiamini, siku moja tungemchua mbantu halisi awakilishe huo urembo, kwanza tungeliweka rekodii ya dunia, pilii tungeweza hata kubadilisha huo mfumo wao. Unamjua mbantu halisi, mwili wake sura yake, sina picha, lakini mwenye blog anaweza kuitafuta na kuiweka kwa niaba yangu
ReplyDelete