NG'WANAKANUNDO - MANJU MASHUHURI WA KISUKUMA KUTOKA MWANZA
Monday, September 6, 2010
VIBONZO VYA UCHAGUZI: SAFARI YA IKULU, USINGIZI HAUJI, MIMI NI MWENZENU NA TAALUMA IMEINGIA LUBA.
Uchaguzi wa mwaka huu naona "umenoga" sana. Kwa hakika tutaona na kusikia mengi - yakiwemo yale ya binafsi. Tunaomba tu yote yafanyike kwa amani. Mungu Ibariki Tanzania!!!
No comments:
Post a Comment