hahahhhaa kunausemi unasema Jogoo wa shamba hawiki mjini sasa huyo anataka kuwika ataharibu usemi na maiti gharama!macho ayaone na mwenye masikio ayasikie!!!!!Aksante kaka kwa ujumbe mzito!.
Hii mada ni muhimu. Tangu zamani za kale, binadamu ametafakari na kuelezea uwiano au tofauti baina ya mambo ya mjini na mambo ya shamba. Hiyo katuni inaendeleza jadi hiyo kwa namna yake. Niligusia kidogo suala hili hapa.
Ujumbe murua mkuu, mwenye macho haambiwi tizama, na kama hujui kufa tizama kaburi!
ReplyDeleteujumbe umefika mkuu. umekaa kiurahisi sana. Si lazima uwe mjini ati!! Au ndio kwanza uwe umefika mjini... Ahsante mkuu
ReplyDeletehahahhhaa kunausemi unasema Jogoo wa shamba hawiki mjini sasa huyo anataka kuwika ataharibu usemi na maiti gharama!macho ayaone na mwenye masikio ayasikie!!!!!Aksante kaka kwa ujumbe mzito!.
ReplyDeleteHii mada ni muhimu. Tangu zamani za kale, binadamu ametafakari na kuelezea uwiano au tofauti baina ya mambo ya mjini na mambo ya shamba. Hiyo katuni inaendeleza jadi hiyo kwa namna yake. Niligusia kidogo suala hili hapa.
ReplyDelete