Warusi kweli hawana mchezo. Hapana ni lazima tu watakuwa wamekunywa mavodka na halafu ngumi zikaanza. Pengine familia moja ilikuwa ya kifisadi na nyingine ilikuwa masikini. Kudharauliana kupo sana na utakuta ile familia ya kifisadi inawadharau hawa masikini. Halafu ngumi zinawaka. Nimecheka sana ingawa pia kuna mambo ya kufikiri. I also hope kwamba ndoa hii ilidumu.
Warusi kweli hawana mchezo. Hapana ni lazima tu watakuwa wamekunywa mavodka na halafu ngumi zikaanza. Pengine familia moja ilikuwa ya kifisadi na nyingine ilikuwa masikini. Kudharauliana kupo sana na utakuta ile familia ya kifisadi inawadharau hawa masikini. Halafu ngumi zinawaka. Nimecheka sana ingawa pia kuna mambo ya kufikiri. I also hope kwamba ndoa hii ilidumu.
ReplyDeleteDUH!
ReplyDelete